nilihisi nataka kujisaidia haja kubwa, mapig0 ya m0y0 yalinienda mbi0 “mb0g0 edgar mimi nimekwisha le0” nika watazama w0te
wawili wakiwa wame nikazia mach0, nika mtazama bibi ya0 nika0na na nayeye amenikazia mach0 ila mach0 yake ni ni t0fauti na
wajukuu zake yeye haku0nyesha urafii ata kid0g0, “samahani jamani sit0 weza kufanya l0l0te na0nd0ka zangu,” nili0ngea na
kuanza ku0nd0ka, lakini Zamda akanizuwia hapa Eddy basi kunywa kid0g0 ata huu mviny0 nili0 enda kukutafutia” ali0ngea
akijiandaa kuni miminia lakininika endelea kutembea “hapa Zamda sit0weza kufanya ch0ch0te usiku huu” Zamda akanikimbilia
tena na kuni zuwia, sasa tulikuwa tume waacha mbali kid0g0 wakina bibi na Amida, basi naku0mba le0 lala hapa kwetu alafu
kesh0 uendelee na safari,” alizidi kunishawishi Zamda huku bibi yake na dada yake wakitutazama, “Zamda nime sema siwezi,
na0mba uniache ni0nd0ke kama wanaume hapa kijijini wap0 wengi sana” nilisema nikijaribu kumpita Zamda nakendelea na safari
sasa nili elekea ijijini kwetu Mandepwende, pasip0 kujuwa nitafika saa ngapi, Zamda akazidi kuni fwata mpaka tukaanza
kup0tea ene0 la nyumbani kwa0, wakina Amida atukuwa0na tena, “basi na0mba tufanye hapa hapa haraka haraka,” alisema Zamda
akinishika mk0n0, kiukweli sikuwa ata na hamu ya tend0 hil0, nilich0 kifanya nka jipapatua kwenye mk0n0 wake nakuzidi
kutembea hap0 nika mw0na Zamda amesimama akitazama kwa hasira. Kisha akatamka manen0 ambay0 kama ninge ya zingatia yasinge nit0kea yaliy0 nit0kea,
alisema Zamda akinishika mk0n0, kiukweli sikuwa ata na hamu ya tend0 hil0. Nilich0 kifanya nka jipapatua kwenyemk0n0 wake nakuzidi kutembea hap0 nika mw0na Zamda amesimama akitazama kwa hasira,
kisha akatamka manen0 ambay0 kama ninge ya zingatia yasinge nit0kea yaliy0 nit0kea. ”Edgar uwezi kutuacha hivi, umesha anza lazimaumalizie. Ebu rudi haraka kabla hayaja kukuta mabaya” hiy0 kauri niliisikia lakini nika0na ni manen0 ya mk0saji,
“yanikute tu! mimi sirudi tena” nili0ngea huku nizidi kutembea mbele. Ata nilip0 geuka kutazama nyuma nilimw0na Zamda akwa amesimama ananitazama,
hap0 nika0na afadhari maana angeendelea kuni fwata pengine ningeingia kwenye majaribu. Nilitembea mpaka akap0tea mach0ni mwangu, kiukweli giza lilikuwa ni kubwa sana,
nilitembea ndani ya msitu huli0 kuwa kimya sana. Zilisikika sauti za ndege wa usiku na vyula, malachache nilikutana na wanyama wad0g0 wad0g0 kama sungungura na pimbi. Kiukweli nili tembea kwa wasi wasi sana,
asa ilip0nijia sula ya yule bibi ya0 wakina Amida. Nazie ngu0 nyeupe aliz0 vaa, pia nakilemba chake, sijuwi kwanini nili kiwaza sana kile kilemba cha yule bibi,
nilivuta kumbu kumbu ya matuki0 mawili ya kunusulika kutafuna vitumbua vya ndugu wawili. Nikaji0na mk0sefu sana “mtu na dada yake?” nilijisemea mwenyewe. “Eti kweli wanasema niwag0nge w0te wawili, yawapi hiy0?” nilitemba nikizidi ku0ngeza mwend0 maana kil0mita ishilini siy0 mchez0,
nikazidi kut0k0mea ktk njia yenye msitu mnene na ukumngu mwingi sana. Nilijutia mda nili0 up0teza kwakina Zamda, baada ya kutembea kwa muda wa lisaa lim0ja nilifika kwenye b0nde d0g0 la chatu,
nalikumbuka hil0 sababu nikiwa md0g0 sana baba alikuwa anapenda kusimulia habari ya chatu wa ene0 hil0. Kiukweli niliingiwa na u0ga kid0g0 nilip0fika hap0,
nika0ngeza mwend0 na kukanyaga vishind0 vikubwa. Nilisikia chatu ana0g0pa vishind0 vikubwa, nilifanikiwa kukatiza ene0 hil0 salama, lakini ile kus0gea atua chache mbele. Nikaanza kusikia vishind0 afifu vya wanyama vikija kwangu kwa speed,
Bonyeza Hiyo Button Iliyo andikwa Next Kusoma Sehemu Inayo Fuata ya, Bibi Mbuya na Wajukuu zake ni Simulizi ya Maisha yenye Ujumbe wa Kufundisha.
- 104shares
- Facebook78
- Twitter26
- Gmail
- Copy Link