in

Matokeo Kidato cha Sita: NECTA ACSEE RESULTS (2022-2005)

Matokeo kidato cha sita 2022, NECTA ACSEE yametoka. Form six National Examination Result ACSEE 2022 by NECTA. Matokeo Form six national Exam Results for Advance school in Tanzania was officially released, click the year you want below to view the results.

Long-term of ACSEE is Advanced Certificate of secondary Education Examination, Tanzania one (TO), Mwanafunzi wa kwanza kitaifa , National Examination Council of Tanzania (NECTA). www.necta.go.tz

MATOKEO KIDATO CHA SITA - NECTA ACSEE 2022-2023

TAZAMA MATOKEO KIDATO CHA SITA NECTA ACSEE RESULTS 2022/2023.

Matokeo kidato cha sita acsee yametangazwa na Baraza la mitihani kwa mikoa yote Dar es Salaam, Mbeya, Arusha, Kigoma, Mwanza, iringa, Pwani, Kilimanjaro, Manyara, na mikoa yote Tanzania bara na Visiwani BMZ (Zanzibar).

Therefore, Chagua mwaka husika hapo chini kwenye hiyo Table of Content, uweze kutazama matokeo kwa urahisi na haraka.

2022

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2022 NECTA

ACSEE Form Six National Examination Results mwaka 2022. ufaulu umeongezeka kulinganisha na mwaka jana kwa mujibu wa baraza la mitihani Tanzania.

Also, Kufahamu ufaulu umeongezeka kwa asilimia ngapi Bonyeza iyo link iliyo andikwa MAT0KEO KWA UJUMLA.

2020

NECTA FORM SIX RESULTS 

Wengi wetu hatuto usahau kiurahisi mwaka huu, maana ulikua ni Mwaka wa matukio mengi ikiwemo COVID-19 (CORONA VIRUS DECEMBER 2019) na UCHAGUZI wa Tanzania, ilayote na yote MUNGU ametuvusha salama na wanafunzi wamefanya mtihani wao kwa utaratibu waliopewa na baraza la mitihani NECTA.

Pia matokeo yametoka kwa wakati, yatazame hapo chini.

Bonyeza button iliyo andikwa “MAT0KEO KWA UJUMLA” kutazama matokeo yote, na hizo nyingine kujua wanafunzi kumi bora kitaifa na shule kumi bora Tanzania bara na visiwani (Zanzibar).

2019

Kufahamu matokeo ya ACSEE 2019, click apo chini palipo andikwa “MAT0KEO KWA UJUMLA” kutazama matokeo yote, na hizo nyingine kujua wanafunzi kumi bora kitaifa na shule kumi bora Tanzania bara isipokuwa visiwani (Zanzibar).

2018

National examination Council of Tanzania (NECTA) has announced the Result of Form Six, Advanced Certificate for secondary education ACSEE 2018.

Click apo chini utazame matokeo kwa mikoa yote Tanzania Bara na Visiswani (Zanzibar).

2017

MATOKEO KIDATO CHA SITA ACSEE

Matokeo ya kidato cha 6 kwa mwaka 2017 haya apa, yametolewa na Baraza la mitihani Tanzania NECTA.

Mikoa yote na shule zote Tanzania ipo ikiwemo Dar es salaam, Mbeya, Pwani, Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Kigoma, Dodoma, na mikoa yote Taifa zima.

2016

Mwaka wa kutekeleza kaulimbiu ya “HAPA KAZI TU“, na kweli watahiniwa wetu wa kidato cha sita, wengi wao wamejitahidi.

Kama Baraza la Mitihani Tanzania NECTA, lilivyo sema ya kwamba ufaulu wa kidato cha nne ACSEE 2016 umeongezeka.

2015

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2015

ACSEE RESULTS mwaka 2015 haya apa ACSEE Released by NECTA.

Pia usisahau ya kwamba mwaka huu ndio mwaka ambao Tanzania ilifanya Uchaguzi wake mkuu, na Kumpata Mwamba wa Afrika, Nammanisha Hayati DKT.JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI, Aliyekuwa Rais wa jamuhuri ya Muungano Tanzania.

Tazama matokeo hapo chini, kwa kuchagua MAT0KEO KWA UJUMLA.

2014

Matokeo ya kidato cha sita ACSEE 2014 haya apa chini, click kuyatazama. Also, If you Want Examination Past Papers Just Click on the Search Bar and Search Type the Name of Exam you Want in Africona and You Will Get ASAP.

2013

Matokeoya kidato cha sita ACSEE 2013, Yametolewa na baraza la mitihani Tanzania NECTA. Bonyeza Button iliyo andikwa MATOKE0 KWA UJUMLA kuangalia ufaulu wako.

2012

Haya ndiyo matokeo ya kidato cha sita  kwa mwaka wamasomo 2012, Bonyeza Link hapo chini kuyatazama .

yametolewa na Baraza la mitihani Tanzania NECTA, ACSEE 2012.

2011

Mpangilio wa matokeo ya kidato cha Sita kwa mikoa yote na shule zote Tanzania kwa mwaka wa masomo 2011 huu apa.

ACSEE 2011 Tazama hapo chini yametolewa na Baraza la mitihani Tanzania NECTA.

2010

Kwa kujikumbusha miaka hiyo ya 2010, Tanzania ilifanya uchaguzi wake mkuu wa kuchagua viongozi wake ikiwemo Rais. ila Hakuna kilicho aribika, watahiniwa Walifanya mtihani na matokeo yakatoka kwa wakati sahihi.

Matokeo ya kidato cha sita 2010, Form six National Examination Result ACSEE 2010.

2009

Matokeo haya ya kidato cha sita 2009 yametolewa kwa mpangilio wa mikoa yote na shule zote za serikali pamoja na shule za private(Binafsi).

Kwenye matokeo haya yamejumuisha mkoa wa Tanga, Kilimanjaro, Mbeya, Dar es salaam, Dodoma, Shinyanga, na mikoa mingine yote Tanzania Bara na kwa upande wa visiwani yaani Zanzibar.

2008

Matoke0 ya kidato cha sita haya apa, yamepangiliwavizuri na Baraza la mitihani Tanzania NECTA.

Bonyeza Hapo Chini Button Husika Kutazama matokeo Yako Kwa Haraka. Kumbuka Tovuti Halisi ya Baraza la Mitihani ni www.necta.go.tz .

Matokeo Kidato cha Nne

2007

haya ndiyo matoke0 ya kidato cha sita mwaka 2007, kipindi icho ufaulu ulikua sio kama hivi sasa, yaani kwenye shule moja wanaweza kufaulu ata wanafunzi 10 kwenda Advance.

Dokoa kiungo apo chini kutazama matokeo yako ya kidato cha sita ACSEE 2007.

2006

Hivi mnawakumbuka wale watoto waliokua wanaitwa “Watoto wa jakaya” miaka hiyo ya 2006, Hivi sasa (2021) ndo wapo secondary kweli muda unakwenda.

Yatazame mat0keo ya kidato cha sita ACSEE 2006.

FORM SIX MATOKEO KITAIFA NECTA

2005

MATOKEO KIDATO CHA SITA ACSEE RESULTS

Vijana walio zaliwa miaka hii hivi sasa (2021) ndo wanamiaka 16, kweli muda unakwenda. Na kwawale Wahenga chipukizi walio maliza kidato cha sita mwaka huu 2005, Wengiwao Sasahivi Wapo namaisha yao na familia zao.

Pia Wapo Wanafunzni Wachache ambao bado wanasoma, Nazani wanataka kuona kule kibao kilicho andikwa  “NO SCHOOL, ALL TEACHERS RETIRED” Bado wanapambana na Elimu 👏🏼.

 Tazama apo chini matokeo mwaka 2005.

HAYO NDIYO YALIKUWA MATOKEO KIDATO CHA SITA ACSEE RESULTS.

NIANDIKIE HAPO CHINI KWENYE COMMENT 💬, MATOKEO KIDATO CHA SITA NECTA YALIPO TOKA ULIKUA UNAFANYA NINI, NA ULIPATA UWOGA KIASI GANI…?

Nafahamu Kunakuaga Nakale Kamshtuko Unapo sikia Kwa Watu Kwamba Matokeo Yametoka, Moyo Lazima Uende Mbio Hatakama Unauhakika wa Kufaulu. 

PIA SHARE KWA WENZAKO WAPATE TAARIFA ZA UHAKIKA KAMA HIZI.

Written by Teacher Pizo

My Name is Teacher Pinael Zakaria Olais. Wengi wamezoea Kuniita Teacher Pizo. Nipo Hapa Kuwasaidia wanafunzi katika Masomo yao. Niandikie Swali lako Hapo Kwenye Comment nami Nitakujibu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

MATOKEO YA QT FORM FOUR 2022-2023

MATOKEO YA QT: Form Four Qualifying Test Results (2022/2023)

NECTA Form Six Results

NECTA FORM SIX RESULTS: ACSEE EXAM Result (2022/2023)