in

MITIHANI YA HISABATI NA VITABU: Darasa la Tano, Sita na Saba (PDF)

Mitihani ya Hisabati na Vitabu (Mathematics) Darasa la Tano, Sita, na la Saba Mitihani (Past Papers) Mbalimbali Pamoja na Vitabu Utavipata Hapa Bure (FREE) kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi. Pamoja na mitihani ya Mock ikiwa katika Mfumo wa PDF Bila usumbufu wowote. Pia utapata na Mtaala wa Mwaalimu wa Kufundishia Somo la Hisabati (Syllabus) Kutoka Tanzania Institute of Education (TIE). Parimary School Mathematics for Standard Five, Six and Seven Enjoy 😊.

MITIHANI YA HISABATI NA VITABU

CURRICULUM AND SYLLABUS FOR MATHEMATICS PRIMARY SCHOOL.

Somo la Hisabati linalenga kumjengea mwanafunzi maarifa, stadi na mwelekeo utakaomwezesha kukabiliana na mazingira yanayomzunguka katika maisha ya kila siku. Ufundishaji wa somo hili umelenga kumwezesha mwanafunzi kujenga umahiri hatua kwa hatua kulingana na darasa husika. Muhtasari huu umegawanywa katika sehemu kuu tatu ambazo ni utangulizi, uhusiano kati ya muhtasari huu na mtaala wa Elimu ya Msingi na maudhui ya muhutasari.

Download “IN SWAHILI” Syllabus-Mathematics-S.3-7-2019-Kiswahili.pdf – Downloaded 1903 times – 1.12 MB

Download “IN ENGLISH” Syllabus-Mathematics-S.3-6-2016-English.pdf – Downloaded 320 times – 798.01 KB

MITIHANI YA HISABATI NA MAJARIBIO DARASA LA TANO, SITA NA SABA.

Download Past Papers (Mitihani) Pamoja na Majaribio Mbalimbali na Mitihani ya Hisabati (Mathematics) Hapo chini 👇🏽👇🏽. Kwa wale watumiaji wa Simu (Smart Phone) Hakikisha unayo App Kwaajili ya Kusomea Mafile ya PDF, kama Hauna Download hapa.

NECTA EXAMS PDF FILE
PSLE-2004 Download
PSLE-2008 Download
PSLE-2012 Download
PSLE-2013 Download
PSLE-2014 Download
PSLE-2015 Download
PSLE-2016 Download
PSLE-2017 Download
PSLE-2018 Download
PSLE-ENG-2010 Download
PSLE-ENG-2011 Download
PSLE-ENG-2012 Download
PSLE-ENG-2013 Download
PSLE-ENG-2014 Download
PSLE-ENG-2015 Download

Ku Download Past Papers (Mitihani) na Majaribio Hayo apo chini, ni Rahisi sana unacho takiwa kufanya niku Bonyeza File la mtihani au Jaribio Husika unalo hitaji kusoma Kisha una Click Maandishi ya kwenye jedwali yaliyo andikwa Download.

VITABU VYA HISABATI DARASA LA TANO, SITA NA SABA

Download Vitabu (Books) vya Somo la Hesabati Hapo chini. Vitabu vitakua vinaongezwa kulingana na mahitaji yenu Nyie watumiaji wetu wapendwa wa tovuti (Website) hii ya Africona. Hisabati Pastpapers na Vitabu. Hivyo usisite kutuma maombi ya kitabu unacho hitaji, Unachotakiwa kukifanya ni ku Comment Hapo chini jina la Kitabu na Sisi tutakiweka.

SCHOOL EXAMS PDF FILE
JARIBIO LA UPIMAJI Download
TEMEKE EXAMS Download
MOCK EXAMINATION Download
MTIHANI WA UTIMILIFU Download
MOCK EXAMINATION Download

KITABU CHA HISABATI DARASA LA SABA

BOOK NAME FILE
HISABATI

Download “STD 7” KITABU-CHA-HISABATI-S7.pdf – Downloaded 538 times – 20.28 MB

HITIMISHO KUHUSU MITIHANI YA HISABATI (MATHEMATICS).

Katika Post Hii tumekuwekea Mitihani, Vitabu na majaribio mbalimbali ya Somo la Hisabati (Mathematics), Sio vibaya na wewe kama uta share Material yako ya Kujisomea pamoja nasi Mitihani ya Hisabati na Vitabu. itakua nijambo la Kiungwana sana.

Unaweza kutuma File la PDF au Picha za Mitihani (Past Papers), Vitabu au Kitabu chocho kinacho husiana na Masomo ya Elimu ya Msingi Nasisi tutakiweka. Pia kama Unaswali Lolote linalo husiana na masomo tuandikie Hapo chini kwenye Comment nasi tutakujibu swali lako.

MITIHANI ZAIDI

Written by Teacher Pizo

My Name is Teacher Pinael Zakaria Olais. Wengi wamezoea Kuniita Teacher Pizo. Nipo Hapa Kuwasaidia wanafunzi katika Masomo yao. Niandikie Swali lako Hapo Kwenye Comment nami Nitakujibu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Hadithi za Eric Shigongo Simulizi Zote Zipo Bure Download PDF

Hadithi za Eric Shigongo: Simulizi Zote Zipo Bure Download (PDF)

Mitihani ya Maarifa ya jamii

MITIHANI YA MAARIFA YA JAMII: Darasa la Tano – Saba (PDF)