in

MITIHANI YA KISWAHILI NA VITABU: Darasa la Tano Hadi Saba (PDF)

Mitihani ya Kiswahili na Vitabu Darasa la Tano, Sita, na la Saba Mitihani (Past Papers) Mbalimbali Pamoja na Vitabu Utavipata Hapa Bure (FREE) kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi. Pamoja na mitihani ya Mock ikiwa katika Mfumo wa PDF Bila usumbufu wowote. Pia utapata na Mtaala wa Mwaalimu wa Kufundishia (Syllabus) Kutoka Tanzania Institute of Education (TIE). Parimary School Kiswahili for Standard Five, Six and Seven.

MITIHANI YA KISWAHILI NA VITABU

CURRICULUM AND SYLLABUS FOR KISWAHILI SUBJECT.

Elimu bora ni haki ya kila Mtanzania. Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imekuwa ikiboresha Mtaala wa Elimu ya Msingi kuhakikisha kwamba elimu inayotolewa ni bora na inayomwandaa mwanafunzi kumudu maisha katika mazingira yake. Muktadha huu umeifanya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia iboreshe mchakato wa kufundisha na kujifunza Somo la Kiswahili kwa
kuandaa muhtasari huu.

Download “CURRICULUM & SYLLABUS IN SWAHILI” Syllabus-Kiswahili-Subject-S.3-7-2019.pdf – Downloaded 48 times – 949.23 KB

Download “CURRICULUM & SYLLABUS IN ENGLISH” Syllabus-Kiswahili-Subject-English-Medium-S.3-6-2016.pdf – Downloaded 29 times – 869.21 KB

MITIHANI YA KISWAHILI NA MAJARIBIO DARASA LA TANO, SITA NA SABA.

Download Past Papers (Mitihani) Pamoja na Majaribio Mbalimbali ya Somo la Kiswahili Hapo chini 👇🏽👇🏽. Kwa wale watumiaji wa Simu (Smart Phone) Hakikisha unayo App Kwaajili ya Kusomea Mafile ya PDF, kama Hauna Download hapa.

NECTA EXAM PDF FILE
PSLE-2004 Download
PSLE-2006 Download
PSLE-2011 Download
PSLE-2012 Download
PSLE-2014 Download
PSLE-2015 Download
PSLE-2016 Download
PSLE-2017 Download

Ku Download Past Papers (Mitihani) na Majaribio Hayo apo chini, ni Rahisi sana unacho takiwa kufanya niku Bonyeza File la mtihani au Jaribio Husika unalo hitaji kusoma Kisha una Click Maandishi ya kwenye jedwali yaliyo andikwa Download.

SCHOOL EXAM PDF FILE
JARIBIO LA WIKI Download
KISHAPU EXAMS Download
TEMEKE EXAMS Download
MAJARIBIO Download
NGOPSO EXAMS Download
MADEP EXAMS Download
IREMSA EXAMS Download
KESS EXAMINATIONS Download
UWATA EXAMS Download
TEMEKE EXAMS - 2 Download
KINONDONI EXAMS Download
NECTA - 2019 Download
MTIHANI WA MOCK Download

VITABU VYA KISWAHILI DARASA LA TANO, SITA NA SABA.

Download Vitabu (Books) na Mitihani ya Kiswahili Hapo chini. Vitabu vitakua vinaongezwa kulingana na mahitaji yenu Nyie watumiaji wetu wapendwa wa tovuti (Website) hii ya Africona. Swahili Pastpapers na Vitabu. Hivyo usisite kutuma maombi ya kitabu unacho hitaji, Unachotakiwa kukifanya ni ku Comment Hapo chini jina la Kitabu na Sisi tutakiweka.

KITABU-CHA-KISWAHILI-DARASA-LA-SABA

JINA LA KITABU PAKUA FAILI
KISWAHILI

Download “LA SABA” KISWAHILI-DARASA-LA-SABA-BOOK.pdf – Downloaded 32 times – 13.55 MB

HITIMISHO

Katika Post Hii tumekuwekea Mitihani, Vitabu na majaribio mbalimbali ya Somo la Kiswahil, Sio vibaya na wewe kama uta share Material yako ya Kujisomea pamoja nasi itakua nijambo la Kiungwana sana.Pastpapers na Vitabu.

Unaweza kutuma File la PDF au Picha za Mitihani ya Kiswahili, Vitabu au Kitabu chocho kinacho husiana na Masomo ya Elimu ya Msingi Nasisi tutakiweka. Pia kama Unaswali Lolote linalo husiana na masomo tuandikie Hapo chini kwenye Comment nasi tutakujibu swali lako.

MITIHANI ZAIDI

Written by Teacher Pizo

My Name is Teacher Pinael Zakaria Olais. Wengi wamezoea Kuniita Teacher Pizo. Nipo Hapa Kuwasaidia wanafunzi katika Masomo yao. Niandikie Swali lako Hapo Kwenye Comment nami Nitakujibu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

SAYANSI PAST PAPERS DARASA LA 1,2,3 NA NNE

SAYANSI PAST PAPERS: Darasa la Kwanza hadi la Nne (PDF)

Mitihani ya Stadi za Kazi na Vitabu

MITIHANI YA STADI ZA KAZI NA VITABU: Darasa la Tano – Saba (PDF)