in

Mitihani ya Sayansi na Vitabu: Darasa la Tano, Sita na Saba (PDF)

Mitihani ya Sayansi na Vitabu Darasa la Tano, Sita, na la Saba Mitihani (Past Papers) Mbalimbali Pamoja na Vitabu Utavipata Hapa Bure (FREE) kwa Wanafunzi wa Shule za Msingi. Pamoja na mitihani ya Mock ikiwa katika Mfumo wa PDF Bila usumbufu wowote. Pia utapata na Mtaala wa Mwaalimu wa Kufundishia Somo la Sayansi (Syllabus) Kutoka Tanzania Institute of Education (TIE). Parimary School Science for Standard Five, Six and Seven Enjoy.

MITIHANI YA SAYANSI NA VITABU

CURRICULUM AND SYLLABUS SCIENCE.

Mtaala wa Elimu ya Msingi umebainisha mambo mbalimbali ikiwemo umahiri mkuu na umahiri mahususi katika kila somo kwa Darasa la III-VII. Muhtasari wa Sayansi na Teknolojia umewasilisha baadhi ya vipengele vya mtaala ambavyo ni malengo ya Elimu ya Msingi, umahiri wa Elimu ya Msingi, malengo ya Somo la Sayans na Teknolojia, umahiri mkuu na mahususi, ufundishaji na ujifunzaji wa Somo la Sayansi na Teknolojia na upimaji wa ujifunzaji.

Download “SAYANSI SFNA - SYLLABI” Syllabus-Science-and-Technology-S.3-7-2019-Kiswahili.pdf – Downloaded 202 times – 888.15 KB

MITIHANI YA SAYANSI NA MAJARIBIO DARASA LA TANO, SITA NA SABA.

Download Past Papers (Mitihani) Pamoja na Majaribio Mbalimbali ya Somo la Sayansi (science) Hapo chini 👇🏽👇🏽. Kwa wale watumiaji wa Simu (Smart Phone) Hakikisha unayo App Kwaajili ya Kusomea Mafile ya PDF, kama Hauna Download hapa. Sayansi Pastpapers na Vitabu Bure.

NECTA EXAM PDF FILE
PSLE-2005 Download
PSLE-2006 Download
PSLE-2007 Download
PSLE-2008 Download
PSLE-2009 Download
PSLE-2010 Download
PSLE-2011 Download
PSLE-2012 Download
PSLE-2013 Download
PSLE-2014 Download
PSLE-2015 Download
PSLE-2016 Download
PSLE-2017 Download
PSLE-2018 Download
PSLE-ENG-2010 Download
PSLE-ENG-2011 Download
PSLE-ENG-2012 Download
PSLE-ENG-2013 Download
PSLE-ENG-2014 Download
PSLE-ENG-2015 Download

Ku Download Past Papers (Mitihani) na Majaribio Hayo apo chini, ni Rahisi sana unacho takiwa kufanya niku Bonyeza File la mtihani au Jaribio Husika unalo hitaji kusoma Kisha una Click Maandishi ya kwenye jedwali yaliyo andikwa Download.

VITABU VYA SAYANSI DARASA LA TANO, SITA NA SABA

Download Vitabu (Books) na Mitihani ya Sayansi na Teknolojia Hapo chini. Vitabu vitakua vinaongezwa kulingana na mahitaji yenu Nyie watumiaji wetu wapendwa wa tovuti (Website) hii ya Africona. Hivyo usisite kutuma maombi ya kitabu unacho hitaji, Unachotakiwa kukifanya ni ku Comment Hapo chini jina la Kitabu na Sisi tutakiweka.

SCHOOL EXAM PDF FILE
BUSISI PRIMARY Download
WILAYA YA NAMTUMBO Download
DARAJA II PRIMARY Download
ELIMU PRIMARY Download
MADEP EXAMINATION Download
MTIHANI WA UTAMILIFU Download
JARIBIO LA TANO Download
MTIHANI WA MOCK Download
MUHULA WA PILI Download
JARIBIO LA MWISHO Download
JOINT EXAMINATION Download
KAHANGARA SCHOOL Download
MANISPAA YA ILEMELA Download
MAJARIBIO MOROGORO Download
MAJARIBIO TEMEKE Download
THEMI PRIMARY Download
MOCK WILAYA NAMPANDA Download
MTIHANI WA KUJIPIMA Download
MKINGA PRIMARY Download
KALOLA PRIMARY Download
WILAYA YA KISHAPU Download

HITIMISHO.

Katika Post Hii tumekuwekea Mitihani, Vitabu na majaribio mbalimbali ya Somo la (science). Sio vibaya na wewe kama uta share Material yako ya Kujisomea pamoja nasi itakua nijambo la Kiungwana sana.

Ku share Material Pamoja nasi Bonyeza Hiyo Button Apo chini, iliyo andikwa (TUMA MTIHANI).

Unaweza kutuma File la PDF Mitihani ya Sayansi (Past Papers), Vitabu au Kitabu chocho kinacho husiana na Masomo ya Elimu ya Msingi Nasisi tutakiweka. Pia kama Unaswali Lolote linalo husiana na masomo tuandikie Hapo chini kwenye Comment nasi tutakujibu swali lako.

MITIHANI ZAIDI

Written by Teacher Pizo

My Name is Teacher Pinael Zakaria Olais. Wengi wamezoea Kuniita Teacher Pizo. Nipo Hapa Kuwasaidia wanafunzi katika Masomo yao. Niandikie Swali lako Hapo Kwenye Comment nami Nitakujibu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Nafasi za Kazi Arusha

Nafasi za kazi Arusha Region: 600+ Jobs in Arusha

Physics Past Papers Secondary

PHYSICS PAST PAPERS Secondary: Form Three and Four (PDF)